Mto Mississippi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Mississippi ndio mto mkubwa wa Marekani ni pia kati ya mito mirefu zaidi duniani kote.




Chanzo chake kipo kaskazini mwa Marekani kwenye ziwa Itasca katika jimbo la Minnesota. Inapita majimbo ya Minnesota, Wisconsin, Iowa, Illinois, Missouri, Kentucky, Tennessee, Arkansas, Mississippi, Louisiana na kuishia katika ghuba ya Meksiko karibu na mji wa New Orleans.
Remove ads
Matawimto muhimu
Beseni la Mississippi ni sehemu kubwa ya eneo la Marekani. Matawimto muhimu ni:
- Mto Minnesota
- Mto St. Croix
- Mto Wisconsin
- Mto Illinois
- Mto Missouri
- Mto Ohio
- Mto Arkansas
![]() |
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
|
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads