Minnesota

From Wikipedia, the free encyclopedia

Minnesota
Remove ads

Minnesota ni kati ya majimbo ya kujitawala ya Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu wa jimbo ni Saint Paul na mukubwa jimboni ni Minneapolis. Iko katikati ya Marekani bara ikipakana na Kanada (Manitoba) na Ontario), Wisconsin, Iowa, South Dakota, na North Dakota. Upande wa maawio kuna la ziwa Superior. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 5,220,939 (2008) wanaokalia eneo la 225,365 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.

Thumb
Thumb
Sehemu ya Jimbo la Minnesota
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Remove ads

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Minnesota kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads