Sunna

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sunna
Remove ads

Sunna (pia: sunnah, kutoka Kiarabu : سنة, neno linalomaanisha "mila", "mapokeo" au "njia". [1]) Kwa Waislamu, Sunnah inamaanisha "njia ya mtume Muhammad"[2].

Ukweli wa haraka
Thumb
Sunan Abi Daud ni mkusaniko wa hadith za Mtume Muhammad ambazo ni msingi wa kuamulia sunna yake

Wasomi Waislamu wanajifunza juu ya Sunna kwa kusoma hadithi elfu kadhaa juu ya Muhammad, familia yake, na wafuasi wake wa kwanza. Haditho hizi zinaitwa Hadith.

Jina la dhehebu kubwa katika Uislamu ni Wasuni, nalo limetokana na neno sunna, kwa maana ni waumini wanaolenga kufuata sunna ya mtume wao.

Remove ads

Marejeo

Tazama pia

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads