Fuko (Spalacidae)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fuko (Spalacidae)
Remove ads

Mafuko ni wanyama wa familia Spalacidae ambao wanachimba katika ardhi na kushinda takriban maisha yao yote chini ya uso wake. Wanyama wengine waitwao fuko ni wanafamilia wa Chrysochloridae (oda Afrosoricida), Bathyergidae (Rodentia), Talpidae (Soricomorpha) na Notoryctidae (Notoryctemorphia). Spalacidae za Afrika ziainishwa katika jenasi Tachyoryctes. Spishi zote hula mizizi, matunguu na viazi. Kwa hivyo wanyama hawa wana meno manne makubwa mbele mdomoni. Macho yao ni madogo au yamefunikika kwa ngozi, masikio ni madogo au yametoweka na mkia vilevile. Manyoya yao ni mafupi na magumu na yana rangi ya majivu, kahawia, hudhurungi au nyeupe.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads