Theodeilde

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Theodeilde (pia: Theodehilde, Thelchildes, Telchilde; alifariki Jouarre, Ufaransa, 667) alikuwa abesi wa monasteri ya kike[1] iliyoanzishwa huko na jamaa yake Ado, ndugu wa askofu Dado[2][3].

Mwanamke toka ukoo wa kikabaila, aliyeng'aa kwa stahili na uimara wa maadili[4], kwa miaka 47 alifundisha mabikira waliojitoa kwa Kristo namna ya kumlaki na taa zenye kuwaka [5].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[6][7][8].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Oktoba[9].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads