Theodoro wa Amasea

From Wikipedia, the free encyclopedia

Theodoro wa Amasea
Remove ads

Theodoro wa Amasea (kwa Kigiriki: Θεόδωρος) alikuwa askari Mkristo ambaye, kwa ajili ya imani aliyoikiri kwa ushujaa wakati wa dhuluma, aliteswa, akafungwa na hatimaye akauawa kwa kuchomwa moto katika mji huo wa Uturuki wa leo mwanzoni mwa karne ya 4 (306 hivi[1][2][3][4][5]).

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Theodoro.
Thumb
Kaburi lake huko Venice.
Thumb
Masalia ya Mt. Theodoro wa Amasea.

Gregori wa Nisa alimsifu kwa hotuba yake maarufu.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Novemba au 17 Februari[6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads