Usiku wa manane

From Wikipedia, the free encyclopedia

Usiku wa manane
Remove ads

Usiku wa manane (pia: usiku wa manani) ni kipindi cha usiku baada ya masaa 8 hivi ya giza.

Thumb
Dunia inavyoangazwa na taa usiku, hasa kwenye miji na maendeleo makubwa.

Mara nyingi kinaendana na kuvika kwa jogoo kwa mara ya kwanza katika siku mpya.

Katika dini mbalimbali, hususan Ukristo, ni wakati muhimu wa sala, hasa kwa wale wanaokesha.

Maelezo zaidi Vipindi vya siku ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads