Vincent Kigosi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Vincent Kigosi (maarufu kama Ray; amezaliwa 16 Mei 1980) ni mwigizaji, mwongozaji na mtayarishaji mkubwa wa filamu kutoka nchini Tanzania.[2] Makao makuu yake ni Dar-es-Salaam.[3]

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Majina mengine ...

Kigosi vilevile anajiita Mr. Nollywood,[4] japokuwa ametengeneza filamu nyingi za Bongo Films.

Kigosi alianza kazi ya uigizaji mwaka 2000 kupitia vipindi vya televisheni na soap opera halafu akaanza kucheza katika filamu mbalimbali.

Ana kampuni yake mwenyewe ya filamu, akiwa na mwigizaji mwenzake Blandina Changula (Johari), maarufu kama RJ Company.

Remove ads

Filmografia

Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads