Vito wa Pontida

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Vito wa Pontida, O.S.B. (alifariki 1096 hivi), alikuwa abati wa monasteri ya Wabenedikto wa urekebisho wa Cluny iliyoanzishwa na Alberto wa Pontida huko Lombardia, Italia[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba[2] pamoja na mwenzake Alberto[3].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads