Waata
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Waata (au Waat, Watha) ni kabila lenye asili ya Kikhoisan linalokalia tangu kale pwani ya Kenya (kaunti ya Tana River na kaunti ya Lamu). Wanakadiriwa kuwa 13,000.
Lugha mama yao ni Kiwaata, mojawapo kati ya lugha za Kikushi[1].
Wana undugu wa asili na Waaweer na Wadahalo nao wote wanaitwa Wasanye.
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads