Wabajuni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wabajuni ni kabila la watu wanaoishi hasa katika visiwa vya Bajuni na sehemu za pwani za jirani upande wa bara kati ya Kismayo (Somalia) na Mombasa (Kenya)[1][2].
Asili yao ni mchanganyiko wa Wakhoisan na Wabantu, lakini pia Waarabu, Waajemi, Wasomali[1] na hata Waindonesia.[3]
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads