Wakarmeli wa Compiègne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wakarmeli wa Compiègne
Remove ads

Wakarmeli wa Compiègne (karne ya 1817 Julai 1794) walikuwa wanawake 16 wa Ufaransa waliouawa kwa ajili ya imani yao mwanzoni mwa Mapinduzi ya Ufaransa [1].

Thumb
Wafiadini Wakarmeli wa Compiègne katika dirisha la kioo cha rangi huko Qidenham, Norfolk, Uingereza.

Kati ya hao Wakarmeli Peku wa monasteri ya Compiègne, 11 walikuwa wamonaki [2], 2 masista [3] na 3 watersiari [4].

Papa Pius X aliwatangaza wenye heri tarehe 27 Mei 1906 halafu Papa Fransisko aliwatangaza watakatifu wafiadini tarehe 18 Desemba 2024.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chao [5]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads