Walburga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Walburga (Devonshire, Wessex, Uingereza, 710 hivi – Heidenheim, Ujerumani, 25 Februari 779) alikuwa abesi Mbenedikto wa monasteri dabo, ya kike na ya kiume, katika Ujerumani ya leo, alipokuwa amefuata kaka zake wamisionari Wilibaldi na Winibaldi kwa ombi la askofu Bonifas mfiadini.[1][2].

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu, hasa baada ya kutangazwa na Papa Adriani II tarehe 1 Mei 870.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads