Winibaldi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Winibaldi
Remove ads

Winibaldi, O.S.B. (pia: Winibald, Winebald, Winnibald, Wunebald, Wynbald; Wessex, Uingereza, 702 hivi - Heidenheim, Bavaria, Ujerumani, 18 Desemba 761) alikuwa mwana wa Rikardo wa Lucca, na ndugu wa askofu Wilibaldi wa Eichstätt na wa Walburga wa Heidenheim ambao wote tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu, sawa naye mwenyewe[1] .

Thumb
Mt. Vinibaldi katika mchoro mdogo.

Watoto hao watatu walimfuata Bonifas mfiadini katika kuinjilisha Ujerumani [2] na Vinibaldi alipewa upadirisho [3].

Baadaye alianzisha monasteri dabo huko akawa abati wake wa kwanza[4][5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake [6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads