Wilibaldi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilibaldi
Remove ads

Wilibaldi (Wessex, Uingereza, 22 Septemba 700Eichstaett, Ujerumani, 7 Julai 787 au 788) alikuwa mmonaki Mbenedikto ambaye, baada ya kuhiji sehemu mbalimbali hadi Nchi takatifu na kustawisha umonaki, alipata umaarufu kwa umisionari wake katika Ujerumani ya leo alipotumwa na Papa Gregori III kumsaidia Bonifasi.

Thumb
Sanamu yake huko Munich.

Ndugu zake Winibaldi na Walburga pia walishiriki kazi hiyo.

Alikuwa askofu wa kwanza wa Eichstaett, alipoongoa wengi, akafariki huko[1].

Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu, hasa baada ya kutangazwa na Papa Leo VII (938).

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads