Yohane Mbatizaji wa Rossi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yohane Mbatizaji wa Rossi (kwa Kiitalia: Giovanni Battista de' Rossi; Voltaggio, Piemonte, 22 Februari 1698 – Roma, Lazio, 23 Mei 1764) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Italia.

Papa Pius IX alimtangaza mwenye heri tarehe 13 Mei 1860, halafu Papa Leo XIII akamtangaza mtakatifu tarehe 8 Desemba 1881[1].
Remove ads
Maisha
Mtoto wa maskini, alikwenda Roma kwa masomo[3] akapewa upadrisho ingawa alikuwa ameanza kuugua kifafa kilichomsumbua hadi mwisho wa maisha yake.
Tangu hapo alijitosa kuhudumia fukara na waliotengwa na jamii, wakiwa pamoja na wanawake, wagonjwa, wafungwa, wafanyakazi, akiwapa pia mafundisho ya Kikristo mbali ya kuadhimisha sakramenti ya upatanisho kwa wengi[4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads