From Wikipedia, the free encyclopedia
Ludoviko wa Toulouse (Brignoles, Provence, Ufaransa, Februari 1274 - Toulouse 19 Agosti 1297) alikuwa mwana wa mfalme wa Napoli Charles II wa Anjou, mdogo wake Ludoviko IX, lakini akitamani ufukara wa Kiinjili kuliko sifa na heshima za kidunia, alikataa haki ya kumrithi akawa mtawa wa Ndugu Wadogo na askofu wa Kanisa Katoliki mjini Toulouse[1].
Akiwa kijana kwa umri lakini mkomavu katika maadili alifariki mapema kutokana na afya wake dhaifu[2].
Alitangazwa na Papa Yohane XXII kuwa mtakatifu tarehe 7 Aprili 1317.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.