Albati wa Trapani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Albati wa Trapani
Remove ads

Albati wa Trapani, O.Carm. (kwa Kisisili: Albertu di l’Abati; Trapani, Sicilia, Italia, 1240 hivi – Messina, Sicilia, 7 Agosti 1307) alikuwa mtawa na padri[1].

Thumb
Mchoro ukimuonyesha Mt. Albati.

Kwa mahubiri yale alivuta Wayahudi wengi kwenye Ukristo[2] akasaidia chakula mji wa Messina uliozingirwa na maadui[3][1][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Papa Nikola V, Papa Sisto V na Papa Kalisti III walithibitisha heshima hiyo.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Agosti[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads