Filomeno wa Ankara

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Filomeno wa Ankara (alifariki Ankara, Galatia, katika Uturuki ya leo, 274 hivi) alikuwa Mkristo aliyekwenda Ankara kikazi akapata kufia dini yake huko katika dhuluma ya kaisari Aurelian kwa kutupwa motoni halafu kupigiliwa misumari miguuni, mikononi na kichwani chini ya gavana Felisi [1]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi, na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 29 Novemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads