Fransisko Shoyemon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Fransisko Shoyemon, O.P. (alifariki Nagasaki, 14 Agosti 1633) alikuwa katekista, halafu mnovisi kutoka Japani na mmojawapo kati ya Wakristo wa Kanisa Katoliki waliofia dini nchini humo.

Aliuawa na waliochukia jina la Yesu chini ya kamanda mkuu Tokugawa Yemitsu. Pamoja naye aliuawa padri mmisionari Dominiko Ibáñez de Erquicia [1].
Anaheshimiwa kama mtakatifu pamoja na Lorenzo Ruiz na wenzao waliotangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa wenye heri tarehe 18 Februari 1981 halafu watakatifu tarehe 18 Oktoba 1987.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 28 Septemba, lakini ya kwake mwenyewe tarehe ya kifodini chake[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads