Iota

From Wikipedia, the free encyclopedia

Iota
Remove ads

Iota (pia: yodi) ni herufi ya tisa katika Alfabeti ya Kigiriki. Umbo la iota kubwa na ndogo limeendelea vilevile katika alfabeti ya Kilatini na hivyo hutumiwa vile hadi leo katika lugha zote zinazotumia mwandiko huo kama vile Kiswahili, Kiingereza na kadhalika.

Ukweli wa haraka Alfabeti ya Kigiriki, Herufi za kawaida ...
Remove ads

Kwa matumizi ya tarakimu inamaanisha namba 10.[1]

Matamshi yake ni sawa na "i" kwa Kiswahili.

Remove ads

Neno iota = yodi katika tafsiri ya Biblia

Katika tafsiri ya Biblia ya "Union Bible" neno "yodi" hutumiwa pale ambako lugha asilia ya Kigiriki inatumia "iota" .

Math 5:18: Kwa maana, amin, nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya Torati haitaondoka, hata yote yatimie. [2]

Hapa neno iota/yodi hutumiwa kumaanisha "herufi ndogo kabisa" yaani sehemu ndogo yoyote ya Maandiko matakatifu.

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads