Joji wa Suelli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Joji wa Suelli (Cagliari, Sardinia, Italia, karne ya 11 - Suelli, Cagliari, 23 Aprili 1117) alikuwa askofu wa Suelli, kijiji cha Italia visiwani kuanzia umri wa miaka 22 hadi kifo chake[1].

Tangu zamani anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Aleksanda III mwaka 1159[2], tena na Papa Paulo V mwaka 1609.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe aliyofariki dunia[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads