Kontardo wa Este

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kontardo wa Este
Remove ads

Kontardo wa Este (Ferrara, Italia, 1216 - Broni, Pavia, Italia, 16 Aprili 1249) alikuwa mwana wa mtemi wa Ferrara. Dada yake, Beatrice, alikuwa malkia wa Hungaria. Hata hivyo Kontardo alijinyima cheo na mali akaishi miaka mingi kwa ufukara mkubwa bila makao maalumu akatembelea patakatifu pa Yerusalemu, Palestina[1].

Thumb
Kontardo wa Este

Baadaye, akielekea patakatifu pa Santiago de Compostela, Hispania, aliugua njiani na kufariki amelala juu ya nyasi nyumbani mwa mkulima akatambuliwa baadaye tu, kutokana na miujiza kadhaa iliyotokea [2].

Tangu kale anaheshimiwa kama watakatifu. Papa Paulo V alithibitisha heshima hiyo tarehe 27 Septemba 1628.

Sikukuu yake ni tarehe 16 Aprili[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads