Listra

From Wikipedia, the free encyclopedia

Listra
Remove ads

Listra (kwa Kigiriki: Λύστρα, Lyustra) ulikuwa mji wa rasi ya Anatolia, katika Uturuki wa leo.

Thumb
Mt. Paulo na Mt. Barnaba kuko Listra, mchoro wa Willem de Poorter, 1636.

Kwa sasa ni kijiji tu kinachoitwa Klistra, km 30 kusini kwa Konya[1].

Mji huo unatajwa mara sita katika Biblia ya Kikristo (Mdo 14:6,8,21; 16:1, 2Tim 3:11) kwa sababu kuanzia mwaka 46 Mtume Paulo alifika huko mara kadhaa kuinjilisha akiwa mara na Barnaba, mara na Sila[2]. Ndipo alipomkuta Timotheo ambaye akawa mshirika na hatimaye mwandamizi wake.

Remove ads

Tanbihi

Viungo vyanje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads