Listra
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Listra (kwa Kigiriki: Λύστρα, Lyustra) ulikuwa mji wa rasi ya Anatolia, katika Uturuki wa leo.

Kwa sasa ni kijiji tu kinachoitwa Klistra, km 30 kusini kwa Konya[1].
Mji huo unatajwa mara sita katika Biblia ya Kikristo (Mdo 14:6,8,21; 16:1, 2Tim 3:11) kwa sababu kuanzia mwaka 46 Mtume Paulo alifika huko mara kadhaa kuinjilisha akiwa mara na Barnaba, mara na Sila[2]. Ndipo alipomkuta Timotheo ambaye akawa mshirika na hatimaye mwandamizi wake.
Remove ads
Tanbihi
Viungo vyanje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads