Matabeleland Kaskazini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Matabeleland Kaskazini
Remove ads

Matabeleland Kaskazini ni mkoa wa Zimbabwe upande wa kaskazini wa Bulawayo. Mkoa umepakana na Bulawayo, Matabeleland Kusini, Midlands na Mashonaland Magharibi. Kuna mipaka ya kimataifa na Zambia upande wa kaskazini kwenye mto Zambezi na Botswana upande wa kusini-magharibi.

Thumb
Matabeleland Kaskazini na mikoa mingine ya Zimbabwe.

Kuna wakazi 828,000 (2022[1]) katika eneo la kilomita za mraba 75,025.

Makao makuu ya mkoa yapo mjini Lupane.

Miji mikubwa kidogo ni Hwangwe na Victoria Falls.

Mkoa unavutia watalii hasa kwa maporomoko ya Victoria Falls na hifadhi ya taifa ya Hwangwe.

Remove ads

Utawala

Matabeleland Kaskazini kuna wilaya 7:

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads