Matabeleland Kaskazini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Matabeleland Kaskazini ni mkoa wa Zimbabwe upande wa kaskazini wa Bulawayo. Mkoa umepakana na Bulawayo, Matabeleland Kusini, Midlands na Mashonaland Magharibi. Kuna mipaka ya kimataifa na Zambia upande wa kaskazini kwenye mto Zambezi na Botswana upande wa kusini-magharibi.

Kuna wakazi 828,000 (2022[1]) katika eneo la kilomita za mraba 75,025.
Makao makuu ya mkoa yapo mjini Lupane.
Miji mikubwa kidogo ni Hwangwe na Victoria Falls.
Mkoa unavutia watalii hasa kwa maporomoko ya Victoria Falls na hifadhi ya taifa ya Hwangwe.
Remove ads
Utawala
Matabeleland Kaskazini kuna wilaya 7:
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads