Maudeto

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maudeto
Remove ads

Maudeto (pia: Maudez, Maudé, Maudet, Maodez, Modez, Maudetus, Mandé na Mawes; Visiwa vya Britania, karne ya 5 Bretagne, leo kaskazini mwa Ufaransa, karne ya 6 hivi) alikuwa mmonaki ambaye aliinjilisha kwanza Cornwall halafu visiwa vya Bretagne [1] alipoanzisha monasteri akawa abati wake na mlezi wa watakatifu kadhaa [2].

Thumb
Mt. Maudeto katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka tarehe 18 Novemba [3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads