Odilo wa Cluny

From Wikipedia, the free encyclopedia

Odilo wa Cluny
Remove ads

Odilo wa Cluny (962 hivi - 1 Januari 1049) alikuwa abati wa tano wa monasteri ya Kibenedikto ya Cluny nchini Ufaransa, ambaye aliifanya kuwa muhimu kuliko zote za Ulaya na kuhamasisha urekebisho wa nyingine nyingi.

Thumb
Sanamu ya Mt. Odilone katika Basilika la Mt. Urban, Troyes, Ufaransa.

Mkali kwake mwenyewe, alikuwa mpole na mwenye huruma kwa wengine; kwa jina la Mungu alipatanisha mataifa yaliyokuwa yanapigana, wakati wa njaa alitegemeza kwa hali na mali wanyonge. Pia alianzisha kumbukumbu ya Marehemu Wote siku iliyofuata sikukuu ya Watakatifu Wote[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads