Papa Adrian III

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Adrian III
Remove ads

Papa Adrian III alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Mei 884 hadi kifo chake mnamo Agosti/Septemba 885[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2][3] .

Ukweli wa haraka Feast ...

Alimfuata Papa Marinus I akafuatwa na Papa Stefano V.

Katika mwaka wa Upapa wake alijitahidi kusaidia watu wa Italia walioteseka kwa vita na njaa[4] na kurudisha kwa kila njia umoja kati ya Kanisa la Roma na lile la Konstantinopoli [5].

Alifariki Nonantola kwa ugonjwa mkali wakati akielekea Ufaransa.

Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mtakatifu tarehe 2 Juni 1891.

Sikukuu yake ni 8 Julai[6].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads