Papa Boniface I
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Boniface I alikuwa Papa kuanzia tarehe 28/29 Desemba 418 hadi kifo chake tarehe 4 Septemba 422[1]. Alitokea Roma, Italia, alipopewa ushemasi na Papa Damaso I.

Alimfuata Papa Zosimus[2] akafuatwa na Papa Selestino I.
Kabla ya kuchaguliwa Papa alikuwa balozi wa Papa Inosenti I huko Konstantinopoli[3].
Kama Papa alijitahidi kurudisha uelewano na kudumisha nidhamu ndani ya Kanisa[4][5] na kutetea mamlaka ya Kanisa la Roma katika Iliriko[6].
Alimuunga mkono Agostino wa Hippo dhidi ya uzushi wa Upelaji[7]
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Maandishi yake
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads