Papa Boniface I

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Boniface I
Remove ads

Papa Boniface I alikuwa Papa kuanzia tarehe 28/29 Desemba 418 hadi kifo chake tarehe 4 Septemba 422[1]. Alitokea Roma, Italia, alipopewa ushemasi na Papa Damaso I.

Thumb
Mt. Bonifas I.

Alimfuata Papa Zosimus[2] akafuatwa na Papa Selestino I.

Kabla ya kuchaguliwa Papa alikuwa balozi wa Papa Inosenti I huko Konstantinopoli[3].

Kama Papa alijitahidi kurudisha uelewano na kudumisha nidhamu ndani ya Kanisa[4][5] na kutetea mamlaka ya Kanisa la Roma katika Iliriko[6].

Alimuunga mkono Agostino wa Hippo dhidi ya uzushi wa Upelaji[7]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 4 Septemba[8].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads