Papa Caio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Caio
Remove ads

Papa Caio alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Desemba 283 hadi kifo chake tarehe 22 Aprili 296[1]. Alitokea Dalmatia, leo nchini Korasya[2].

Thumb
Papa Kayo

Alimfuata Papa Eutychian akafuatwa na Papa Marcellinus.

Wakati wa Upapa wake, chokochoko dhidi ya Wakristo zilianza kuongezeka tena, ingawa waliweza kujenga makanisa na kupanua mashamba ya Mungu. Alidai muumini asipewe uaskofu bila kupitia kwanza daraja zote za chini[3]. Alikwepa dhuluma ya kaisari Dioklesyano, anayesemekana alikuwa na undugu naye.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[4].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads