Papa Formosus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Formosus
Remove ads

Papa Formosus (takriban 8164 Aprili 896) alikuwa Papa kuanzia tarehe 6 Oktoba, 891 hadi kifo chake[1]. Kabla ya hapo alikuwa askofu wa jimbo la Porto, Lazio, Italia[2].

Thumb
Papa Formosus.
Thumb
Papa Stefano VI akilaumu maiti ya Papa Formosus walivyochorwa na Jean-Paul Laurens mwaka 1870.

Alimfuata Papa Stefano V akafuatwa na Papa Boniface VI.

Maiti yake ilichimbuliwa na kunajisiwa na Papa Stefano VI katika Sinodi ya Maiti kwa sababu za kisiasa.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads