Papa Pontian

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Pontian
Remove ads

Papa Pontian (kwa Kilatini Pontianus; alifariki Oktoba 235) alikuwa Papa kuanzia tarehe 21 Julai 230 hadi tarehe 28 Septemba 235[1][2], alipojiuzulu ili kuwezesha uchaguzi wa mwandamizi wake akiwa amepelekwa uhamishoni katika kisiwa cha Sardinia pamoja na antipapa Hipoliti wa Roma[3][4]. Alitokea Roma, Italia.

Thumb
Papa Pontian

Alimfuata Papa Urbano I akafuatwa na Papa Anterus.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini, hasa tarehe 13 Agosti, pamoja na Hipoliti.[5][6][7].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads