Papa Sixtus I
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Sixtus I (au Xystus) alikuwa Papa kuanzia takriban 117/119 hadi kifo chake takriban 126/128[1][2]. Alitokea Roma, Italia na jina la baba yake lilikuwa Pastor[3].

Alimfuata Papa Alexander I akafuatwa na Papa Telesphorus[4].
Alishughulikia liturujia ya Kanisa la Roma [5] bila kulazimisha majimbo mengine hata kuhusu suala la adhimisho la Pasaka ya Kikristo lililoanza kujitokeza.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini na kutajwa katika Kanuni ya Kirumi.
Remove ads
Tazama pia
Maandishi yake
- Maandishi yake katika Patrologia Latina ya Migne
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads