Rafka Petra

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rafka Petra
Remove ads

Rafka Petra Choboq Ar-Rayès, O.L.M. (kwa Kiarabu: رفقا بطرسيّة شبق ألريّس; Himlaya, 29 Juni 1832Jrebta, 23 Machi 1914), alikuwa mwanamke mmonaki wa Kanisa la Wamaroni nchini Lebanon.

Thumb
Mt. Rafka Petra alivyochorwa kwa kufuata picha yake halisi.
Thumb
Picha halisi ya Mt. Rafka Petra akiwa mahututi kitandani.

Baada ya kujiunga la masista walimu alichukua nafasi ya kujifungia monasterini kwa maisha ya sala na toba zaidi, ambayo yaliendana na upofu kwa miaka 30 na maumivu mengi ya kiafya aliyoyapokea na kuyatoa kama sadaka akimtegemea Mungu tu [1].

Bikira huyo alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 16 Novemba 1985, halafu mtakatifu tarehe 10 Juni 2001.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads