Tilone

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tilone
Remove ads

Tilone (pia: Thillon, Tillon, Til, Theau, Théau, Tillo, Tilman, Tillmann, Thielmann; Westfalen, leo nchini Ujerumani, 608 - Solignac, leo nchini Ufaransa, 702) alikuwa mtumwa halafu mwanafunzi wa Eligius wa Noyon [1].

Thumb
Sanamu mnamotunzwa masalia yake.

Kisha kuongokea Ukristo, alipata kuwa mmonaki huko Solignac karibu na Limoges katika mkoa wa Akwitania, padri, mmisionari [2] na hatimaye askofu wa Tournai, halafu akaenda kuishi pangoni kama mkaapweke[3][4].

Baada ya kuanzisha huko monasteri kwa wafuasi wake 30, alirudi Solignac[5].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu [6].

Sikukuu yake ni tarehe 7 Januari[7].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads