Ursula Ledochowska

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ursula Ledochowska
Remove ads

Ursula Ledochowska (jina la kitawa: Ursula wa Yesu; Loosdorf, Melk, Austria ya Chini, 17 Aprili 1865Roma, Italia, 29 Mei 1939) alikuwa mtawa wa Polandi, mwanzilishi wa shirika la Waursula wa Moyo Mteseka wa Yesu[1][2][3].

Thumb
Picha yake halisi ya mwaka 1907.

Kwa ajili hiyo alisafiri kwa shida sana katika nchi za Polandi, Skandinavia, Ufini na Urusi [4].

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 20 Juni 1983, akamtangaza mtakatifu tarehe 18 Mei 2003[5].

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka kwenye tarehe ya kifo chake[6].

Shirika lake lilipata kibali cha Papa tarehe 4 Juni 1923. Kufikia mwaka 2005 lilikuwa na masista 832 katika nyumba 98 zikiwemo zile za Tanzania.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads