From Wikipedia, the free encyclopedia
Schleswig-Holstein ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 2,8 kwenye eneo la 15,763 km². Mji mkuu ni Kiel. Waziri mkuu ni Torsten Albig (SPD).
Schleswig-Holstein ni sehemu ya kaskazini kabisa ya Ujerumani ikipakana na Denmark upande wa kaskazini. Kwa kusini imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Mecklenburg-Pomerini, Saksonia ya chini na Hamburg. Upande wa magharibi kuna pwani la Bahari ya Kaskazini lenye visiwa vingi na upande wa mashariki iko pwani la Bahari Baltiki.
Miji mikubwa ni pamoja na Kiel na Lübeck.
Elbe na Eider ni mito muhimu zaidi.
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Schleswig-Holstein kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Baden-Württemberg • Bavaria (Bayern) • Berlin • Brandenburg • Bremen • Hamburg • Hesse (Hessen) • Mecklenburg-Pomerini Magharibi (Mecklenburg-Vorpommern) • Saksonia Chini (Niedersachsen) • Rhine Kaskazini-Westfalia (Nordrhein-Westfalen) • Rhine-Palatino (Rheinland-Pfalz) • Saar (Saarland) • Saksonia (Sachsen) • Saksonia-Anhalt (Sachsen-Anhalt) • Schleswig-Holstein • Thuringia (Thüringen) |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.