All Eyez on Me
Albamu ya mwaka 1996 na 2Pac From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
All Eyez on Me, ni albamu mshindi-Grammy ya nne ya rapa wa West Coast, 2Pac. Ilitolewa mnamo tar. 13 Februari 1996, na kuuza nakala zaidi ya milioni 1 ndani ya masaa yake manne ya kutolewa, na kuifanya iwe albamu ya kwanza kwenda kwenye platinamu haraka sana hakuna tena.[2] Hii ilikuwa albamu ya mwisho kutolewa na 2Pac wakati wa maisha yake, akaja kufa miezi 7 kamili baadaye kunako tar. 13 Septemba katika mwaka wa 1996.
Albamu hii huhesabiwa kama moja kati ya kazi 2Pac zilizofanya vizuri hakuna, na huonekana kama moja kati ya albamu zilizopiga hatua kubwa kimafanikio katika muziki wa rap hasa kwa miaka ya 1990.[3] Ilikuwa ikiitwa kama "kazi bora ya 2Pac ambayo haijawahi kurekodiwa"[4]. About.com wataalamu wa rap wameipa All Eyez On Me nafasi ya 80 katika orodha yao ya albamu kali 100 za muda wote.[5] Kwa mujibu wa RIAA, albamu hii ni miongoni mwa albamu za rap ziliouza vizuri kwa muda wote, kwa kuuza zaidi ya nakala za albamu milioni 11 katika Marekani peke yake mnamo mwezi wa Aprili 1996. Albamu ilitunukiwa platinamu 12 mnamo mwezi wa Juni 1998 na RIAA. Albamu pia ilikuwa vibao vikali namba moja kwenye chati za Billboard 100: How Do U Want It na California Love.[6]
Remove ads
Orodha ya nyimbo
Book 1
Book 2
Remove ads
Single
Historia ya chati
Albamu
Single
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads