Dangerous (albamu)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Dangerous ni jina la kutaja albamu ya nane ya mwanamuziki, mtayarishaji wa rekodi, mwimbaji, mfanyabiashara, kabaila, na mhisani wa Kimarekani, Michael Jackson. Albamu ilitolewa mnamo tar. 26 Novemba 1991. Imekuwa albamu yake ya pili kushika #1 kwenye chati za Billboard 200, ambapo ilitumia wiki nne kwenye chati hizo.
Katika kipindi cha miaka 17, vyombo vya habari vilielezea kwamba rekodi imeuza takriban nakala milioni 32 kwa hesabu ya dunia nzima, na zingine milioni 7 ziliuzwa Marekani peke yake, na kuifanya iwe albamu iliyouzwa haraka sana kuliko albamu iliyopita ya Bad. Albamu imeshinda tuzo moja ya Grammy kwa Uhandisi Bora uliofanyika katika albamu - Bruce Swedien na Teddy Riley[2][3]
Remove ads
Mradi
Muziki wa video
Orodha ya nyimbo
Single zake
- Oktoba 1991 - "Black or White" U.S. #1 / UK #1
- Januari 1992 - "Remember the Time" U.S. #3 / UK #3
- Aprili 1992 - "In the Closet" U.S. #6 / UK #8
- Julai 1992 (U.S.); Septemba 1992 (UK) - "Jam" U.S. #26 / UK #12
- Agosti 1992 (Europe); Februari 1993 (U.S.) - "Who Is It" U.S. #14 / UK #10
- Oktoba 1992 - "Heal the World" U.S. #27 / UK #2
- Februari 1993 - "Give In to Me" UK #2 (Europe only single)
- Mei 1993 - "Will You Be There" U.S. #7 / UK #8
- Novemba 1993 - "Gone Too Soon" UK #33 (UK only single)
Remove ads
Matunukio
Chati ilizoshika
Marejeo
Tazama pia
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads