Egesipo
Mtakatifu Mkristo wa karne ya 2 na mwandishi wa historia From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Egesipo (110 hivi – Yerusalemu, Israeli/Palestina, 180) alikuwa Myahudi aliyeongokea Ukristo akawa mwandishi wa vitabu mbalimbali ambavyo sehemu chache tu zimetufikia[1][2]. Muhimu zaidi ni masimulizi yake manyofu juu ya historia ya Kanisa kuanzia Mateso ya Yesu hadi wakati alipoishi mwenyewe, lakini aliandika pia dhidi ya uzushi.

Mwenyeji wa Mashariki ya Kati, aliishi miaka ishirini huko Roma chini ya Mapapa Aniseti, Soteri na Eleuteri [3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads