Papa Anicetus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Anicetus
Remove ads

Papa Anicetus alikuwa Papa kuanzia takriban 150/157 hadi kifo chake takriban 153/168[1]. Alitokea Emesa, Syria[2].

Thumb
Papa Anicetus.

Alimfuata Papa Pius I akafuatwa na Papa Soter.

Kwa msaada wa Yustino alipinga uzushi wa Gnosi na wa Marcio [3][4].

Alimpokea kidugu Polikarpo kujadili kwa amani suala la adhimisho la Pasaka ya Kikristo[5]. Pia mwanahistoria Egesipo alitembelea Roma wakati wa Upapa wa Anicetus[6].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 17 Aprili au 20 Aprili[7].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads