Papa Soter

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Soter
Remove ads

Papa Soter alikuwa Papa kuanzia takriban mwaka 162/168 akaendelea hadi kifo chake mwaka 170/177)[1][2]. Alitokea Fondi, Italia[3].

Thumb
Papa Soter

Alimfuata Papa Anicetus akafuatwa na Papa Eleutero.

Katika barua iliyotufikia, Denis wa Korintho alimsifu kwa ukarimu wake mkubwa kwa Wakristo waliofukuzwa au kupelekwa migodini kufanya kazi ya shokoa[4].

Soter anatajwa kwa kutamka kuwa ndoa ya Kikristo ni halisi ikiwa tu sakramenti iliyobarikiwa na padri na kwa kuanzisha Pasaka kama sherehe ya kila mwaka mjini Roma.[5]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Aprili[6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads