Papa Eleutero
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Eleutero (kwa Kigiriki Ελευθέριος) alikuwa Papa kuanzia takriban 171/177 hadi kifo chake takriban 185/193[1]. Alitokea Nikopoli, Ugiriki.

Alimfuata Papa Soter akafuatwa na Papa Viktor I.
Egesipo aliandika kwamba alikuwa shemasi wa Roma chini ya Papa Aniseti na Papa Soter.
Chini yake uzushi ulienea [2] na Eleutero aliandika kitabu kuupinga [3]
Wafiadini wa Lyon, wakiwa gerezani, walimuandikia barua nzuri sana kuhusu kudumisha amani ya Kanisa[4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads