Gwalfadi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gwalfadi
Remove ads

Gwalfadi, O.S.B.Cam. (kwa Kijerumani: Wolfhard[1]; Augsburg, leo nchini Ujerumani, 1070 hivi - Verona, leo nchini Italia, 30 Aprili 1127) alikuwa fundi aliyeishi zaidi ya miaka ishirini kama mkaapweke msituni, na hatimaye alijiunga na Wakamaldoli miaka kumi ya mwisho ya maisha yake, ingawa alikuwa na chumba chake nje ya monasteri yao, alipokuwa akitembelewa na waumini wengine[2].

Thumb
Gualfardo of Verona, mchoro wa I. Brint (1620).

Tangu kale huheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads