Kentucky

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kentucky
Remove ads

Kentucky ni jimbo (commonwealth) la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Frankfort.

Thumb
Sehemu ya Jimbo la Kentucky
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...

Miji muhimu baada ya Frankfort ni Louisville, Lexington, Paducah, Pikeville na Ashland.

Kiingereza ni lugha rasmi.

Imepakana na Illinois, Indiana, Ohio, West Virginia (Virginia Magharibi), North Carolina (Carolina Kaskazini), Tennessee na Missouri.

Jimbo lina wakazi wapatao 4,269,245 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 104,659.

Thumb
Remove ads

Viungo vya Nje

Commonwealth of Kentucky Official Website

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kentucky kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads