Wisconsin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wisconsin
Remove ads

Wisconsin ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Madison na mji mukubwa ni Milwaukee. Jimbo lina wakazi wapatao 5,627,967 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 169,790. Mipaka asilia ni Ziwa Michigan upande wa mashariki na Ziwa Superior upande wa kazkazini. Imepakana na Michigan, Illinois, Iowa na Minnesota.

Thumb
Thumb
Sehemu ya Jimbo la Wisconsin
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Remove ads

Miji

Viungo vya Nje

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wisconsin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads