Papa Felix I

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Felix I
Remove ads

Papa Felix I alikuwa Papa kuanzia tarehe 5 Januari 269 hadi kifo chake tarehe 30 Desemba 274[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Thumb
Papa Felix I

Alimfuata Papa Dionysius akafuatwa na Papa Eutychian, akiongoza Kanisa wakati wa kaisari Aurelianus [3].

Alitoa barua muhimu kuhusu umoja wa nafsi ya Kristo na kwa msaada wa kaisari Aureliani alitatua farakano la Antiokia kuhusu Utatu Mtakatifu wa Mungu pekee[4][5].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 30 Desemba[6].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads