Papa Theodor I
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Theodor I alikuwa Papa kuanzia tarehe 12 Oktoba/24 Novemba 642 hadi kifo chake tarehe 14 Mei 649[1]. Mzaliwa wa Yerusalemu (Israeli)[2] ambapo baba yake alipata kuwa askofu [3], alikimbilia Roma Waislamu walipoteka Nchi Takatifu[4].

Alimfuata Papa Yohane IV akafuatwa na Papa Martin I.
Alipinga uzushi wa waliokanusha Yesu kuwa na utashi wa kibinadamu na kwa ajili hiyo aliandaa Mtaguso wa Laterano wa mwaka 649 akishirikiana na Maksimo Muungamadini.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads