Rikardo wa Lucca
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Rikardo wa Lucca (Wessex, Uingereza, karne ya 7 - Lucca, Toscana, Italia, 3 Aprili 722) alikuwa Mkristo wa Uingereza ambaye alifuata sana dini yake na hatimaye alifariki wakati wa hija yake kwenda Roma pamoja na wanae wawili wa kiume, Wilibaldi wa Eichstätt na Winibaldi wa Heidenheim.
Kati ya watoto wake, hao na binti mmoja, Walburga wa Heidenheim wanaheshimiwa kama watakatifu, sawa naye mwenyewe[1]
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Februari[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads