Rikardo wa Lucca

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rikardo wa Lucca
Remove ads

Rikardo wa Lucca (Wessex, Uingereza, karne ya 7 - Lucca, Toscana, Italia, 3 Aprili 722) alikuwa Mkristo wa Uingereza ambaye alifuata sana dini yake na hatimaye alifariki wakati wa hija yake kwenda Roma pamoja na wanae wawili wa kiume, Wilibaldi wa Eichstätt na Winibaldi wa Heidenheim.

Thumb
Mt. Richard wa Sussex katika dirisha la kioo cha rangi huko St Ricarius Church, Aberford.

Kati ya watoto wake, hao na binti mmoja, Walburga wa Heidenheim wanaheshimiwa kama watakatifu, sawa naye mwenyewe[1]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Februari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads