Zimbabwe Kuu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Zimbabwe Kuu (kwa Kiingereza: Great Zimbabwe ulikuwa mji wa Karne za Kati katika vilima vya kusini-mashariki mwa Zimbabwe karibu na Ziwa Mutirikwi na mji wa Masvingo. Inafikiriwa ulikuwa mji mkuu wa dola kubwa lisilojulikana sana.[1]

Majengo yake ya mawe ni ya kuanzia karne ya 9 hadi karne ya 15, mji ulipoachwa. Inasadikiwa kwamba wakazi bwake waliweza kufikia 18,000 na kuwa mababu wa Washona wa leo.[2]
Magofu yake yameorodheshwa na UNESCO kama Urithi wa Dunia.
Remove ads
Picha
- Mnara
- Ngome
- Ngome kutoka jirani
- Ngome kutoka mbali
- Mandhari kutoka bondeni
- Linta ya mbao
Tazama pia
- Magofu mengine nchini Zimbabwe
- Bumbusi
- Danangombe
- Naletale
- Khami
- Ziwa, Zimbabwe
- Leopard's Kopje
- Magofu mengine nje ya Zimbabwe
- Manyikeni huko Msumbiji
- Blaauboschkraal stone ruins huko Mpumalanga, Afrika Kusini
- BaKoni ruins huko Mpumalanga, Afrika Kusini
- Engaruka huko Mkoa wa Arusha, Tanzania
- Kweneng' Ruins huko Gauteng, Afrika Kusini
- Mapungubwe huko Limpopo, Afrika Kusini
- Thimlich Ohinga stone ruins huko Kaunti ya Migori, Kenya
- Megaliths
Remove ads
Tanbihi
Vyanzo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads